Habari
MHE. JENISTA ASISITIZA UTEKELEZAJI MKAKATI WA KUSHUGHULIKIA RUFAA ZA WATUMISHI NA WA KUZUIA ONGEZEKO LA MASHAURI YA KINIDHAMU

Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA, Tume ya Utumishi wa Umma, Bw. Sylvester Koko (Katikati) akimuonesha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (Wa kwanza kulia) mpango kazi wa kutekeleza mradi wa ujenzi wa mfumo wa kielektroniki wa ushughulikiaji wa rufaa na malalamiko wakati wa kikao kazi cha Waziri huyo na menejimenti ya tume hiyo kilichofanyika jijini Dodoma kwa lengo la kuhimiza uwajibikaji. Wa kwanza kushoto ni Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma, Bw. Mathew Kirama.