Habari
MHE JENISTA ARIDHISHWA NA NAMNA e-GA INAVYOWAJENGEA UWEZO VIJANA WA VYUO VIKUU KUFANYA TAFITI NA UBUNIFU WA MIFUMO YA TEHAMA KATIKA KUTATUA CHANGAMOTO KWENYE SEKTA MBALIMBALI NCHINI

Vijana wa Vyuo Vikuu wanaofanya utafiti na ubunifu wa mifumo ya TEHAMA kupitia Kituo cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Mifumo cha Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara yake ya kikazi kuona kazi inayofanywa na vijana hao katika kituo hicho jijini Dodoma.