Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. JENISTA AMUAGIZA MRATIBU WA TASAF HALMASHAURI YA WILAYA YA MADABA KUHAKIKISHA WOTE WANAOSTAHILI KUINGIZWA KWENYE MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI WANAANDIKISHWA


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama akimsikiliza mlengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wa Kijiji cha Mtyangimbole, Halmashauri ya Wilaya ya Madaba, Mkoani Ruvuma, Bi. Maklina Mhagama alipokuwa akieleza namna TASAF ilivyomuwezesha kuboresha maisha yake wakati wa ziara ya kikazi ya Mhe. Jenista iliyolenga kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika halmashauri hiyo.