Habari
MHE. JENISTA AMJULIA HALI MJANE WA HAYATI DKT. OMAR ALI JUMA ALIYEKUWA MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akimpa zawadi ya ua mama Salma Omar mjane wa hayati Dkt. Omar Ali Juma aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiwa ni ishara ya kumtakia heri ya siku ya kuzaliwa alipomtembelea nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.