Habari
MHE. JENISTA AKEMEA TABIA YA WAAJIRI SERIKALINI KULIPA MADENI YA WAKUU WA IDARA PEKEE NA KUYAACHA YA WATUMISHI WENGINE

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Bi. Martha Mlata katika Ofisi za CCM mkoani humo, mara baada ya Waziri huyo kuwasili mkoani Singida kwa ajili ya ziara ya kikazi.