Habari
MHE. JENISTA AKEMEA TABIA YA WAAJIRI SERIKALINI KULIPA MADENI YA WAKUU WA IDARA PEKEE NA KUYAACHA YA WATUMISHI WENGINE
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na watumishi wa umma katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi katika halmashauri hiyo.