Habari
MHE. JENISTA AIHIMIZA TGFA KUKAMILISHA UJENZI WA KARAKANA YA NDEGE JIJINI DAR ES SALAAM NA KUJIPANGA KWA UJENZI WA MAKAO MAKUU YA OFISI NA KARAKANA YA NDEGE JIJINI DODOMA

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Ndege za Serikali, Mhandisi John Nzulule akifafanua jambo kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama wakati wa kikao kazi cha Waziri huyo na Menejimenti ya Wakala ya Ndege za Serikali kilichofanyika jijini Dar es Salaam.