Habari
MHE. JENISTA AIASA TUME YA UTUMISHI WA UMMA KUSIMAMIA HAKI WAKATI WA KUTOA MAAMUZI YA MASHAURI YA KINIDHAMU

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma (hawapo pichani) wakati wa kikao kazi chake na Makamishna wa Tume hiyo chenye lengo la kuhimiza uwajibikaji.