Habari
MHE. JENISTA AIASA TUME YA UTUMISHI WA UMMA KUSIMAMIA HAKI WAKATI WA KUTOA MAAMUZI YA MASHAURI YA KINIDHAMU

Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama (meza kuu katikati) wakati akizungumza nao kwa lengo la kuhimiza uwajibikaji.