Habari
MHE. JENISTA AELEKEZA MIRADI YA TASAF YA AFYA NA ELIMU IKAMILIKE KWA WAKATI ILI ITOE MCHANGO KATIKA MAENDELEO YA TAIFA

Sehemu ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyamagana na wananchi wa Kata ya Butimba wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF inayofadhiliwa na Umoja wa Nchi zinazosambaza Mafuta Duniani (OPEC) katika Halmashauri ya Manispaa ya Nyamagana mkoani Mwanza.