Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. JENISTA AAHIDI KUTEKELEZA KIKAMILIFU JUKUMU ALILOPEWA NA MHE. RAIS KUWAHUDUMIA VIONGOZI WASTAAFU NA WAJANE WA VIONGOZI HAO IKIWA NI SEHEMU YA KUTAMBUA MCHANGO WALIOUTOA KATIKA TAIFA


Mama Anna Mkapa, Mjane wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama wakati waziri huyo alipomtembelea nyumbani kwake jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa majukumu yake.