Habari
MFUMO MPYA WA KUPIMA UTENDAJI KAZI KUBAINI MIKOA NA HALMASHAURI ZINAZOONGOZA KUKWEPA KUTOA UFAFANUZI WA MASUALA YA KIUTUMISHI

Afisa Sheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba, Bw. Zuberi Sarahani akieleza namna alivyojipanga kutekeleza maelekezo ya Mhe. Jenista Mhagama aliyoyatoa jijini Dodoma wakati akifungua kikao kazi chao kilicholenga kuzitafutia ufumbuzi changamoto za utekelezaji wa Sheria ya Utumishi wa Umma na kanuni zake.