Habari
MFUMO MPYA WA KUPIMA UTENDAJI KAZI KUBAINI MIKOA NA HALMASHAURI ZINAZOONGOZA KUKWEPA KUTOA UFAFANUZI WA MASUALA YA KIUTUMISHI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiwa na Wanasheria na Maafisa Utumishi wa Sekretarieti za Mikoa na Halmashauri za Wilaya, kabla ya kufungua kikao kazi cha maafisa hao kilicholenga kuzitafutia ufumbuzi changamoto za utekelezaji wa Sheria ya Utumishi wa Umma na kanuni zake.