Habari
MFUKO WA UWEKEZAJI WA PAMOJA WA ‘FAIDA FUND’ UMELENGA KUWANUFAISHA WATANZANIA WA KIPATO CHA CHINI, KATI NA CHA JUU

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizindua mfuko wa uwekezaji wa pamoja wa FAIDA FUND ulioanzishwa na WHI ili kuwawezesha Watanzania kuwekeza kwenye mfuko huo.