Habari
MFUKO WA UWEKEZAJI WA PAMOJA WA ‘FAIDA FUND’ UMELENGA KUWANUFAISHA WATANZANIA WA KIPATO CHA CHINI, KATI NA CHA JUU

Baadhi ya wadau wa Watumishi Housing Investments (WHI) wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) wakati wa hafla ya uzinduzi wa mfuko wa uwekezaji wa pamoja wa FAIDA FUND uliofanyika jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa J.K Nyerere.