Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MAHITAJI YA MAFUNZO KWA WATUMISHI WA UMMA KUAINISHWA KWA KUZINGATIA MABADILIKO YA KIUTENDAJI, TEKNOLOJIA NA VIPAUMBELE VYA SERIKALI


Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi. Leila Mavika (wa tatu kutoka kulia mstari wa kwanza) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa kikao kazi cha kujadili maeneo muhimu yenye uhitaji wa mafunzo kwa watumishi wa umma mara baada ya kufungua kikao kazi hicho kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI Mtumba jijini Dodoma. Kulia kwake ni Mkurugenzi Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Dkt. Edith Rwiza.