Habari
MAHITAJI YA MAFUNZO KWA WATUMISHI WA UMMA KUAINISHWA KWA KUZINGATIA MABADILIKO YA KIUTENDAJI, TEKNOLOJIA NA VIPAUMBELE VYA SERIKALI

Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi. Leila Mavika akizungumza na wadau kutoka katika taasisi za umma (hawapo pichani) wakati akifungua kikao kazi cha wadau hao kilicholenga kujadili maeneo muhimu yenye uhitaji wa mafunzo kwa watumishi wa umma, kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI Mtumba jijini Dodoma.