Habari
MAELEZO YA MUSWAADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA YA PCCB YAWASILISHWA KWENYE KAMATI YA BUNGE

Kutoka kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Jaji Dkt. Eliezer Feleshi, Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deus Sangu na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa CP. Salum Hamduni wakifuatila wasilisho la Maelezo ya Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Kuzuia na Kupambana katika ukumbi mdogo wa Bunge jijini Dodoma.