Habari
MAAFISA UCHUNGUZI WANAFUNZI WA TAKUKURU WAASWA KUPAMBANA NA WATU WANAOIUMIZA JAMII KWA VITENDO VYA RUSHWA ILI KULINDA MASLAHI YA NCHI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akiwa katika picha ya pamoja baada ya kufungua mafunzo ya awali kwa Maafisa Uchunguzi wa TAKUKURU katika Shule ya Polisi Tanzania, mjini Moshi. Kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Kamishna wa Polisi, Salum Hamduni na kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu.