Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MAAFISA UCHUNGUZI WANAFUNZI WA TAKUKURU WAASWA KUPAMBANA NA WATU WANAOIUMIZA JAMII KWA VITENDO VYA RUSHWA ILI KULINDA MASLAHI YA NCHI


Mkuu wa Shule ya Polisi Tanzania SACP Ramadhani Mungi akitoa salamu za shule hiyo kabla ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene kufungua mafunzo ya Maafisa Uchunguzi na Wachunguzi Wasaidizi wa TAKUKURU mjini Moshi.