Habari
MAAFISA UCHUNGUZI WANAFUNZI WA TAKUKURU WAASWA KUPAMBANA NA WATU WANAOIUMIZA JAMII KWA VITENDO VYA RUSHWA ILI KULINDA MASLAHI YA NCHI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akipokea salamu kutoka kwa Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama wa Mkoa wa Kilimanjaro wakati alipowasili katika Shule ya Polisi Tanzania mjini Moshi kwa lemgo la kufungua mafunzo ya awali kwa Maafisa Uchunguzi wa TAKUKURU.