Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MAAFISA TARAFA WATAKIWA KUTUMIA VIZURI MUDA WA KAZI KUWAHUDUMIA WANANCHI – Bw. Xavier Daudi


Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo kiutendaji Maafisa Tarafa wa Mikoa mara baada ya kufunga Mafunzo ya Maafisa hao yaliyofanyika katika Ukumbi wa Informatics Chuo Kikuu cha Dodoma. Kulia kwake ni Naibu Katibu Mkuu-TAMISEMI, Bw. Ramadhani Kailima na kushoto kwake ni Mkurugenzi Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu Ofisi ya Rais – UTUMISHI, Dkt. Edith Rwiza.