Habari
MAAFISA TARAFA WATAKIWA KUTUMIA VIZURI MUDA WA KAZI KUWAHUDUMIA WANANCHI – Bw. Xavier Daudi

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi (katikati) akifurahia jambo wakati akiagana na Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Bw. Ramadhani Kailima (Wa kwanza kulia) mara baada ya kufunga Mafunzo ya kuwajengea uwezo kiutendaji Maafisa Tafara wa Mikoa yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Informatics Chuo Kikuu cha Dodoma. Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu Ofisi ya Rais – UTUMISHI, Dkt. Edith Rwiza.