Habari
MAAFISA TARAFA WATAKIWA KUTUMIA VIZURI MUDA WA KAZI KUWAHUDUMIA WANANCHI – Bw. Xavier Daudi

Baadhi ya washiriki wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo kiutendaji Maafisa Tarafa wa Mikoa wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi (hayupo pichani) wakati akifunga mafunzo hayo yaliyofanyika katika Ukumbi wa Informatics Chuo Kikuu cha Dodoma.