Habari
MAAFISA TARAFA WATAKIWA KUTUMIA VIZURI MUDA WA KAZI KUWAHUDUMIA WANANCHI – Bw. Xavier Daudi
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi akizungumza na Maafisa Tarafa wa Mikoa (hawapo pichani) wakati akifunga Mafunzo ya kuwajengea uwezo kiutendaji Maafisa hao yaliyofanyika katika Ukumbi wa Informatics Chuo Kikuu cha Dodoma.