Habari
MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2025

Watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakiwa mbele ya banda la ofisi hiyo tayari kwa kuwahudumia Watumishi wa Umma na Wananchi katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid Karume wakati wa Maadhimisho ya Siku ya wanawake Duniani 2025 yanayoendelea jijini Arusha.