Habari
KIKAO KAZI CHA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA, KATIBA NA SHERIA NA OFISI YA RAIS-UTUMISHI

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Florent L. Kyombo akizungumza na Viongozi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Watendaji wa PCCB (hawapo pichani), wakati wa kikao cha kupokea ufafanuzi wa maoni kuhusu Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa jijini Dodoma.