Habari
KATIBU MKUU - UTUMISHI, BW. MKOMI ATAKA MALALAMIKO NA MAONI YA WANANCHI KUJIBIWA KWA WAKATI KUPITIA MIFUMO YA KIDIGITALI

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi (Wa nne kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa Waandamizi wa Taasisi za Umma na Vyama vya Kitaaluma baada ya kufungua kikao kazi cha kujadili masuala ya utawala bora kilichofanyika jijini Dodoma.