Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

KATIBU MKUU - UTUMISHI, BW. MKOMI ATAKA MALALAMIKO NA MAONI YA WANANCHI KUJIBIWA KWA WAKATI KUPITIA MIFUMO YA KIDIGITALI


Mkurugenzi wa Usimamizi wa Maadili, Bi. Leila Mavika, akitoa neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi kufungua kikao kazi cha kujadili matumizi na uendeshaji wa mifumo ya kidigitali kilichofanyika jijini Dodoma.