Habari
KATIBU MKUU - UTUMISHI, BW. MKOMI ATAKA MALALAMIKO NA MAONI YA WANANCHI KUJIBIWA KWA WAKATI KUPITIA MIFUMO YA KIDIGITALI

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi akifungua kikao kazi cha Maafisa Waandamizi wa Taasisi za Umma na Vyama vya Kitaaluma kilicholenga kujadili matumizi na uendeshaji wa mifumo ya kidigitali kilichofanyika jijini Dodoma.