Habari
KAMATI ZA NIDHAMU ZATAKIWA KUHITIMISHA KWA WAKATI MASHAURI YA KINIDHAMU YA WATUMISHI ILI KUIPUNGUZIA GHARAMA SERIKALI

Watumishi wa Halmashauri za Wilaya ya Arusha na Meru wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo wilayani Arumeru iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi hao.