Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

KAMATI YA USEMI YARIDHISHWA NA UBORA WA MAFUNZO YA UONGOZI YANAYOTOLEWA NA TAASISI YA UONGOZI ILI KUENDANA NA KASI YA UTENDAJI KAZI ANAOUTAKA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN


Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya UONGOZI, Bw. Kadari Singo akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya taasisi yake kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakati wa kikao kazi cha kamati hiyo leo jijini Dodoma kilicholenga kupokea taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya taasisi hiyo kwa mwaka 2021/2022.