Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

KAMATI YA USEMI YARIDHISHWA NA UBORA WA MAFUNZO YA UONGOZI YANAYOTOLEWA NA TAASISI YA UONGOZI ILI KUENDANA NA KASI YA UTENDAJI KAZI ANAOUTAKA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN


Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini, Mhe. Sebastian Kapufi akichangia hoja wakati wa kikao cha kamati hiyo leo jijini Dodoma kilicholenga kupokea taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Taasisi ya UONGOZI kwa mwaka 2021/2022.