Habari
KAMATI YA USEMI YARIDHISHWA NA UBORA WA MAFUNZO YA UONGOZI YANAYOTOLEWA NA TAASISI YA UONGOZI ILI KUENDANA NA KASI YA UTENDAJI KAZI ANAOUTAKA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akijibu hoja za wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakati wa kikao cha kamati hiyo leo jijini Dodoma kilicholenga kupokea taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Taasisi ya UONGOZI kwa mwaka 2021/2022.