Habari
KAMATI YA USEMI YARIDHISHWA NA UBORA WA MAFUNZO YA UONGOZI YANAYOTOLEWA NA TAASISI YA UONGOZI ILI KUENDANA NA KASI YA UTENDAJI KAZI ANAOUTAKA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Abdallah Chaurembo akiongoza kikao cha kamati yake leo jijini Dodoma kilicholenga kupokea taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Taasisi ya UONGOZI kwa mwaka 2021/2022.