Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

KAMATI YA USEMI YAPOKEA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO YA OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA


Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa Mhe. Tunza Malapo akichangia hoja wakati wa kikao kazi cha kamati hiyo jijini Dodoma, kilichopokea taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kwa kipindi cha nusu mwaka cha kuanzia mwezi Julai hadi Disemba, 2022.