Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

KAMATI YA USEMI YAPOKEA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO YA OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA


Sehemu ya Viongozi na Watendaji wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Denis Londo (hayupo pichani) wakati akiwasilisha hoja kwenye kikao kazi cha kamati yake, kilichopokea taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa kipindi cha nusu mwaka cha kuanzia mwezi Julai hadi Disemba, 2022.