Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

KAMATI YA USEMI YAPOKEA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO YA OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA


Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Abdallah Chaurembo akifungua kikao kazi cha kamati yake jijini Dodoma, kilichopokea taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa kipindi cha nusu mwaka cha kuanzia mwezi Julai hadi Disemba, 2022.