Habari
KAMATI YA USEMI YAELEKEZA UMILIKI WA HATI MILIKI ZA ARDHI ZA FAMILIA UWE WA AKINA MAMA NA BABA

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Abdallah Chaurembo akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa kamati yake pamoja na wananchi wa Kijiji cha Manyemba wilayani Chamwino waliokabidhiwa hati, mara baada ya kamati yake kuhitimisha ziara ya kikazi wilayani humo iliyolenga kukagua utekelezaji wa shughuli za MKURABITA.