Habari
KAMATI YA USEMI YAELEKEZA UMILIKI WA HATI MILIKI ZA ARDHI ZA FAMILIA UWE WA AKINA MAMA NA BABA

Mratibu wa MKURABITA, Dkt. Seraphia Mgembe akieleza manufaa ya utekelezaji wa Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge (MKURABITA) katika Kijiji cha Mayemba wilayani Chamwino, mara baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kuhitimisha ziara ya kikazi wilayani Chamwino.