Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

KAMATI YA UKAGUZI OFISI YA RAIS-UTUMISHI YAPATIWA MAFUNZO YA KUDHIBITI MATUMIZI YA FEDHA ZA SERIKALI KWA MUJIBU WA MAELEKEZO YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN


Mwenyekiti wa Kamati ya Ukaguzi ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Bw. Victor Kategere akitoa maelezo ya awali kabla ya kumkaribisha Mkurugenzi wa Huduma za Sheria, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Hilda Kabissa kufungua mafunzo kwa Kamati ya Ukaguzi ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma leo jijini Dar es Salaam.