Habari
KAMATI YA UKAGUZI OFISI YA RAIS-UTUMISHI YAPATIWA MAFUNZO YA KUDHIBITI MATUMIZI YA FEDHA ZA SERIKALI KWA MUJIBU WA MAELEKEZO YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

Mkurugenzi wa Huduma za Sheria, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Hilda Kabissa akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Kamati ya Ukaguzi ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora pamoja na baadhi ya watendaji wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora mara baada ya kufungua mafunzo ya kamati hiyo leo jijini Dar es Salaam.