Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

KAMATI YA TAIFA YA UONGOZI YA TASAF YATAKIWA KUZITEMBELEA KAYA MASKINI ILI KUTATUA CHANGAMOTO ZITAKAZOKWAMISHA LENGO LA SERIKALI LA KUBORESHA MAISHA YA KAYA MASKINI NCHINI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiwa katika picha ya pamoja na   Wajumbe wa Kamati ya Taifa ya Uongozi ya TASAF, mara baada ya kuizindua kamati hiyo jijini Dodoma.