Habari
KAMATI YA TAIFA YA UONGOZI YA TASAF YATAKIWA KUZITEMBELEA KAYA MASKINI ILI KUTATUA CHANGAMOTO ZITAKAZOKWAMISHA LENGO LA SERIKALI LA KUBORESHA MAISHA YA KAYA MASKINI NCHINI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akimkabidhi tuzo Mwenyekiti aliyemaliza muda wake kuiongoza Kamati ya Taifa ya Uongozi ya TASAF, Dkt. Moses Kusiluka ya kutambua mchango aliotuoa wakati wa uongozi wake. Wakwanza kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Bw. Ladislaus Mwamanga.