Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

KAMATI YA TAIFA YA UONGOZI YA TASAF YATAKIWA KUZITEMBELEA KAYA MASKINI ILI KUTATUA CHANGAMOTO ZITAKAZOKWAMISHA LENGO LA SERIKALI LA KUBORESHA MAISHA YA KAYA MASKINI NCHINI


Wajumbe wa Kamati ya Taifa ya Uongozi ya TASAF na baadhi ya watendaji wa TASAF wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao wakati wa uzinduzi wa kamati hiyo uliofanyika jijini Dodoma.