Habari
KAMATI YA KUSIMAMIA OFISI ZA VIONGOZI WAKUU WA KITAIFA YA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA MAFUNZO IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA

Mwenyekiti wa Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Machano Saidi akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa kamati yake pamoja na Viongozi na Watendaji wa Afisi ya Rais Ikulu Zanzibar na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakati wa ziara ya kikazi ya kamati hiyo kwenye Idara ya Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.