Habari
KAMATI YA KUSIMAMIA OFISI ZA VIONGOZI WAKUU WA KITAIFA YA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA MAFUNZO IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA

Bw. Sigfrid Ngowi, Afisa Tehama Mwandamizi kutoka Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa akiwasilisha mada juu ya utunzaji wa nyaraka kupitia TEHAMA kwa Wajumbe wa Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakati wa ziara ya kikazi ya Kamati hiyo katika Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.