Habari
KAMATI YA KUSIMAMIA OFISI ZA VIONGOZI WAKUU WA KITAIFA YA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA MAFUNZO IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA

Mkurugenzi wa TEHAMA Serikalini, Bw. Priscus Kiwango akielezea namna TEHAMA inavyorahisisha utendaji kazi katika shughuli za Serikali wakati wa ziara ya kikazi ya Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar katika Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.