Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

KAMATI YA KUSIMAMIA OFISI ZA VIONGOZI WAKUU WA KITAIFA YA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA MAFUNZO IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA


Mkurugenzi wa TEHAMA Serikalini, Bw. Priscus Kiwango akielezea namna TEHAMA inavyorahisisha utendaji kazi katika shughuli za Serikali wakati wa ziara ya kikazi ya Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar katika Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.