Habari
KAMATI YA KUSIMAMIA OFISI ZA VIONGOZI WAKUU WA KITAIFA YA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA MAFUNZO IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA

Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firimin Msiangi akielezea majukumu ya taasisi yake kwa Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakati wa ziara ya kikazi ya kamati hiyo katika Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.