Habari
KAMATI YA KUSIMAMIA OFISI ZA VIONGOZI WAKUU WA KITAIFA YA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR YAFANYA ZIARA YA MAFUNZO IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA

Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Ikulu Zanzibar, Mhe. Jamal Ali akielezea matarajio ya SMZ ya kuboresha utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka za taifa kupitia uzoefu kutoka Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa wakati wa ziara ya kikazi ya Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar katika Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.